News
Yanga juzi ilimtambulisha kocha mpya, Romain Folz kuchukua nafasi ya Miloud Hamdi aliyeondoka katika timu hiyo mara baada ya ...
MABOSI wa Simba wapo siriazi na ishu za usajili, sema wenyewe mambo yao wanafanya kimyakimya, wakitaka kuja kuwasapraizi ...
YANGA leo jioni imetangaz akumuongezea mkataba wa miaka miwili, kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Pacome Zouzoua, ikiwa ni ...
KLABU zipo bize kwelikweli. Kila mmoja inapambana kufanya usajili mpya sambamba na kuachana na wachezaji ambao hawapo katika mipango yao kwa msimu ujao. Pia ikijipanga kwa kambi ya ...
Gwiji wa mieleka na mwigizaji maarufu, Hulk Hogan amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 71. Kwa mujibu wa taarifa ...
UONGOZI wa maafande wa Mashujaa FC, umetangaza kuachana na nyota watano wa kikosi hicho baada ya kutofikia makubaliano ya ...
LICHA ya Chelsea kutaka kumsajili kiungo wa kimataifa wa Uholanzi, Xavi Simons, mabosi wa RB Leipzig wamemjumuisha staa huyo katika kikosi chao kitakachoingia kambini kwa ajili ya maandalizi ...
Mabingwa watetetzi wa Kombe la CHAN, Senegal wameanza vibaya maandalizi ya michuano hiyo baada ya kupoteza kwa mabao 2-1 katika mashindano ya CECAFA Pre CHAN dhidi ya Uganda.
LIGI ya Kikapu Dar es Salaam (BDL) inayoshirikisha timu za wanaume na wanawake, imezidi kushika hisia za wengi huku baadhi ya ...
UONGOZI wa maafande wa Mashujaa, huenda ukaachana na nyota watatu wa kikosi cha kwanza msimu huu, baada ya kutokuwa na ...
MIAKA mitatu tu iliyopita jina la Victorien Adebayor lilikuwa maarufu katika ardhi ya Tanzania ingawa mchezaji huyo wa Niger ...
KLABU ya Yanga imethibitisha kumuongezea mkataba wa miaka miwili kiungo wake, Pacome Zouzoua baada ya ule wa awali kumalizika ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results